SADAKA YANGU- Fr. Kauki


SADAKA YANGU- Fr.Kauki

Chorus: Sadaka yangu, kwako ee Mungu
Ni moyo mnyofu na uliopondeka
(Tazama wapendezwa na kweli ya moyo
Nawe wanijulisha hekima kwa siri
Nioshe kabisa na uovu wangu wote
Na kinywa changu kitanena sifa zako) x2

1. Maana wewe Bwana hupendezwi
    Na dha-bihu za kuteketezwa
    Ama- sivyo mimi ningalikutolea

2. Wapendezwa na dhabihu za haki
      Kuto-ka- kwa moyo mnyofu
Zitolewazo juu ya madhabahu yako

3. Ee Mungu wa wokovu wangu
Unipe moyo radhi wa utii
Usiniondolee Roho wako Mtakatifu

Comments

Popular posts from this blog

NIMEKOSA Lyrics

NO CHILD HAS FAILED ...