NIMEKOSA Lyrics


NIMEKOSA NIHURUMIE

Chorus: Nimekosa, nimekosa, nimekosa Baba nimekosa nihurumie
1. Nimeyasema yasiyofaa ( kwako) Nimeyatenda yasiyofaa (Baba)
Nimekosa ( nimekosa) nihurumie
2. Nimeyaona yasiyofaa (tena) nimesikia yasiyofaa (Baba)
Nimekosa (Nimekosa) nihurumie

3. Kwa sababu ya matendo yangu (haya) jina lako latukanwa bure (Baba)
Nimekosa (Nimekosa) nihurumie

4. Ninaleta familia yangu (kwako) ninayatubu makosa yao (yote)
Nimekosa (Nimekosa) nihurumie

5. Ninaleta Kanisa lote (kwako) ninawaleta na viongozi (wake)
Nimekosa (Nimekosa) nihurumie

Comments

Popular posts from this blog

SADAKA YANGU- Fr. Kauki

NO CHILD HAS FAILED ...